VIPODOZI{mkorogo} VYA MFANYA VIBAYA DAYNA NYANGE
Msani wa muziki wa kizazi kipya kutoka hapa nchini tanzania ,amekuwa mtu wa kushangawa na kuwapa watu wengi maswali baada ya muonekano wake kubadilika yani rangi ya mwili wake kubadilika sana kwasababu inayo daiwa kuwa ametumia vipodozi vya kujichibua maarufu kama mkorogo na huo ndio muone kano wake kwa sasa....
PICHA ZA CRISTIANO RONALDO NA RIHANNA WAKIFANYA YAO ZIPO HAPA
Picha nyingi za ukaribu kati ya mwanamuziki maarufu duniani Rihanna na mwanasoka mashuhuri duniani anae chezea timu kubwa ya club ulimwenguni Real madrid zimekuwa zikitawala kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii huku kila mtu akijiuliza zina maanisha au kuashiria nini hasa ,ila mwisho wa siku kila mtu ana sema lake......
AINA KUMI ZA MABUSU {kisses} NA MAANA ZAKE HIZI HAPA
Ukweli busu ni kitu kinachoshangaza hasa kutokana na raha yake, wengi hufurahia sana kutoa na kupokea busu na bado tunakumbukumbu halisi za busu la kwanza lilivyokuwa.
Inawezekana na wewe ni moja ya wale wanaotafakari ladha ya busu la kwanza itakuwaje, Please relax kila jambo na wakati wake na majira yake.
Inawezekana na wewe ni moja ya wale wanaotafakari ladha ya busu la kwanza itakuwaje, Please relax kila jambo na wakati wake na majira yake.
JINSI YA KUBUSU KATIKA BUSU LA KAWAIDA
Angalia machoni kwa mpenzi wako:Kwamba anategemea kumbusu lazima uelekeze macho yako kumuangalia yeye,
“Eyes are windows to personal soul”
Ukimwangalia usoni utajua kama anahisia (feelings and emotions) kwamba yupo tayari na anakupa ujumbe unaoelekeza kwamba yupo tayari for intimacy.
Pia kumuangalia usoni na kwenye macho yake ni kupeleka ujumbe kwamba unataka kumkaribia kwa ajili ya busu.
TabasamuTabasamu kidogo hupendekeza unataka kufanya kitu, kama unataka kujua kama partner wako anataka kiss unapotuma ujumbe kwa kutabasamu utajua kama yupo tayari au la.
Kama aki-respond kwa tabasamu unaweza kuendelea na ukiona anaangalia chini au pembeni au hali fulani ya kuonesha hayupo tayari unaweza kuacha.
Karibia kabisaSasa unajua unataka busu, ni wakati kuelekea kwenye tendo lenyewe, karibia polepole na wakati unazidi kuwa close hakikisha huna papara
kama ni mwanaume unaweza sasa kumgusa au kumshika (hold) mwili wake au uso wake huku ukikaribia polepole na hapo atajisikia kama vile yupo tayari na comfortable.
Elekeza kichwa chako ili midomo iwe rahisi kukutana kwa ajili ya kubusu.
Pia hakukisha upo usawa wa partner wako ili wakati una busu iwe sawasawa usije ukamiss
Relax lips zako, Hakikisha lips zako zipo relax na hazipo tight kabisa na zake, kutanisha lips kwa ulaini kabisa bila nguvu
Hakikisha lips zako siyo kavu.
Kwani lips kavu hazileti raha yenyewe.
Wengine hupenda kufumba macho na wengine hawapendi.
Wengine hupenda kufumba macho na wengine hawapendi.
Kwa leo fumba macho na ukishakutanisha lips achia hisia zimalizie kila kitu
BAADHI YA AINA ZA MABUSU
BAADHI YA AINA ZA MABUSU
Butterfly kissHuku uso upo distance zero na mpenzi wako, fungua kope (eyelids) za macho funga fungua kwa speed huku unagusisha kwenye shavu lake.
Hili ni busu lisilohusisha lips na hutoa mtekenyo wenye kusisimua kwenye shavu.
Eskimo kissHuku mpo distance zero na mpenzi wako sugua pua yako kwenye pua yake kama sekunde 10 hivi, raha sana.
Finger kissWakati mmelala wote na mpenzi wako, chukue kidole kimoja cha mkono wake na kubusu kwa kukinyonya.
French kissHili ni busu linalohusisha ulimi wengine huita “soul kiss” kwa sababu uhai na nafsi hupita kwenda kwa mwingine kupitia kupumua kwa kinywa kupitia ulimi “wet”
Kitu cha kushangaza ni kwamba wafaransa huiita “English kiss”
Huhusisha maeneo yote ya mdomo na husisimua maeneo yote ya mwili.
Fruit kissChukua kipande cha tunda (hasa fruit juice kipande cha nanasi, embe au zabibu) ng’ata nusu na yeye nusu na kunyang’anyana hadi linavunjika na juice kutelemka midomoni romantically.
Tiger kissKama tiger huku akiwa hajui ukiwa mgongoni mshike na kumbusu kwa kung’ata shingo (angalie usijemuumiza mimi simo nazungumzia kung’ata kimahaba)
Angel KissNi tamu, kumfariji kwa kumbusu kwenye lips delicately.
SEVERINA LWINGA ATWAA TAJI LA PESONALITY MISS TANZANIA 2013
Mrembo Severina Lwinga juzi alifanikiwa kuwa mrembo wa tano kuingia nusu fainali ya shindano la Redd's Miss Tanzania 2013 baada ya kutwaa taji la Miss Personality 2013. Mshindi wa taji hilo anapatikana kwa kupigigiwa kura na warembo wenzake.
Severina ameungana na Miss Tanzania Photogenic 2013, Happiness Watimanywa, Miss Tanzania Talent 2013, Prisca Clement, Miss Tanzania Top Model 2013, Narietha Boniface na Miss Tanzania Sports Woman, Clara Bayo kuingia katika nusu fainali ya Miss Tanzania ambayo itafanyika Jumamosi hii ukumbi wa Mlimani City. Shindano hilo lilifanyika Mgahawa wa AK'S ulipo mtaa wa Samora.
Warembo walioingia tano bora ya Miss Personality 2013 shindano lililofanyika katika magahawa wa AK'S uliopo Mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam.
Warembo watano ambao wamefanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya Redd’s Miss Tanzania 2013 wakiwa katika picha ya pamoja mara jana. Kutoka kushoto ni Miss Tanzania Photogenic 2013, Happiness Watimanywa, Miss Tanzania Talent 2013, Prisca Clement, Miss Tanzania Personality, Severina Lwinga, Miss Tanzania Top Model 2013, Narietha Boniface na Miss Tanzania Sports Woman, Clara Bayo.

Warembo wakiwa ndani ya mgahawa wa AK'S jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim Lundenga ambao ndio waandaaji wa Miss Tanzania akiwa na Mkurugenzi wa Mgahawa wa AK'S, Kishan.
Warembo wakiwa eneo la juu la mgahawa huo ambako kuna patikana viywaji vya kila namna pamoja na burudani kali ya muziki.
Warembo wakiburudika kwa Disco safi lililopo ndani ya mgahawa huo wa Kimataifa wa AK'S.
BEYONCE ABADILIKA NA KUWA NGUVA KATIKA MOJA YA SHEREHE ZA HARUSI ALIZO HUZURIA HIVI KARIBUNI
Mwana miziki mkumbwa duniani Beyonce akiwa karibu na mumewe Jay Z katika zulia le kundu katika harusi ya rafiki wao lybrown james,wakiwa wamwpendeza sana huku mwana mama huyo akiwa amevaa nduo yenye umbo la samaki nguva .Nguo hiyo imezua gumzo baada ya wa tu kudai kuwa alibadilika kuwa nguva kwa muone kano ule aliokuwa nao.....
DAYNA NYANGE AINGIA KWENYE TASNIA YA FASHION AKIWA NA JOKATE MWEGELO
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dayana Nyange ,ameonekana mara nyingi akiwa karibu na mwana mitindo maarufu jokate Mwegelo,amekuwa akidai yakuwa hivi karibuni ataingia kwenye tasnia ya fashion akiwa kama mwanamitindo,au mbunifu wa mavazi ,hivyo jokate ndio rolemodel wake ndio maana pia wapo karibu.....
PICHA ZA HAPPINES WATIMANYA{19} MSHINDI WA MISS REDDS PHOTOGENIC
Redd’s Miss Tanzania Photogenic 2013, Happiness Watimanywa (19) akipozi kwa p[icxha mara baada ya kuibuka mshindi wa taji hilo na kuwa mrembo wa kwanza kutinga nusu fainali za Miss Tanzania 2013 baada ya kuwashinda warembo wenzake 29 katika shindano hilo dogo kuelekea fainali za Redd’s Miss Tanzania 2013.
MISS TABATA ASHINDA TENA TAJI LA MISS REDDS ILALA
Redds Miss Ilala Dorice Mollel (katikati) akipozi na washindi wenzake. Kutoka kulia ni mshindi wa pili Alice Isaac na mshindi wa tatu Clara Bayo.
Redds Miss Ilala 2013 Dorice Mollel(kulia) akiwa na Noela Michael aliyemaliza muda.
Miss Tabata Dorice Mollel (22) usiku wa kuamkia jana aliwashinda warembo wengine 13 kushinda Redds Miss Ilala 2013 katika shindano iliyofanyika kwenye ukumbi wa Golden Jubilee Tower, Dar es Salaam.
Dorice alimrithi Noela Michael ambaye alishinda taji hilo mwaka jana pia akitokea Tabata.
Dorice alizawadiwa 1.5milioni/-, na mshindi wa pili Alice Isaac (Dar City Centre) alipata 1milioni /-.
Mshindi wa tatu katika shindamo hilo ni Clara Bayo (Dar City Centre) ambaye alizawadiwa 700,000/-. Mshindi wanne Pendo Lema (Tabata) alizawadiwa 400,000/- na watano Shamim Mohamed alipata 300,000/-.
Mrembo Juanita Kabunga kutoka Tabata alizawadiwa 500,000/- baada ya kushinda Miss Talent na Kabula Kibogoti pia kutoka Tabata alishinda taji la Miss Rio and Spa na kuzawadiwa 200,000/- na ajira ya kudumu kwenye kampuni hiyo.
Warembo waliosalia kila moja alipata kifuta jasho cha 200,000/-.
Warembo hao ni Clara Paul, Anna Johnson, Irene Mwelolo, Rehema Mpanda, Martha Gewe, Diana Joachim, Natasha Mohamed, Kazumbe Mussa, Kabula Kibogoti na Juanita Kabunga.
Miss Tabata Dorice Mollel (22) usiku wa kuamkia jana aliwashinda warembo wengine 13 kushinda Redds Miss Ilala 2013 katika shindano iliyofanyika kwenye ukumbi wa Golden Jubilee Tower, Dar es Salaam.
Dorice alimrithi Noela Michael ambaye alishinda taji hilo mwaka jana pia akitokea Tabata.
Dorice alizawadiwa 1.5milioni/-, na mshindi wa pili Alice Isaac (Dar City Centre) alipata 1milioni /-.
Mshindi wa tatu katika shindamo hilo ni Clara Bayo (Dar City Centre) ambaye alizawadiwa 700,000/-. Mshindi wanne Pendo Lema (Tabata) alizawadiwa 400,000/- na watano Shamim Mohamed alipata 300,000/-.
Mrembo Juanita Kabunga kutoka Tabata alizawadiwa 500,000/- baada ya kushinda Miss Talent na Kabula Kibogoti pia kutoka Tabata alishinda taji la Miss Rio and Spa na kuzawadiwa 200,000/- na ajira ya kudumu kwenye kampuni hiyo.
Warembo waliosalia kila moja alipata kifuta jasho cha 200,000/-.
Warembo hao ni Clara Paul, Anna Johnson, Irene Mwelolo, Rehema Mpanda, Martha Gewe, Diana Joachim, Natasha Mohamed, Kazumbe Mussa, Kabula Kibogoti na Juanita Kabunga.
MATANGAZO NA MAONYESHO YA NGUO ZA NDANI YATAWALA SHOW YA LEADERS CLUB KILIMANJARO AWARDS TOUR
Hivyo ndivyo nguo za ndani zilivyo onyeshwa na wasanii pamoja na wa rembo mbalimbali katika jukwaa la kilimanjaro awards tour leaders club..........
VIATU VYA KITANDANI VYA JOKATE NI NOMA SANA
Huwa napenda sana kuvaa viatu vya kutandani ambavyo kwa wengi hujulikana na uitwa socks "hivyo ndivyo fashion inavyo mpeleka mwanamitindo maarufu jokate mwegelo,hivyo ukiona picha ya miguu yake ikiwa na socks basi kichwa[CAPTION] ya picha hiyo itakuwa ni usiku mwema au za asubuhi....
LUCCI AZIMA ZOGO KUHUSU KAKA NA DADA KWA KUMVISHA PETE LULU
Producer mkubwa wa musiki wa tanzania maarufu kwajina la Lucci ,amezima gumzo la fununu za yeye kutembea{mausiano ya kimapenzi} na mwanamitindo maharufu Jokate mwegelo baada ya kumpigia goti nakumvisha pete ya uchumba mwana dada lisa aka lulu.Pia picha zauvishaji wa pete hiyo zimerushwa na kuonekana katika mtandao wakijamii wa twitter katika handle ya jokate na lucci....
RIHANNA AONYESHA MKOBA WENYE MCHORO WA MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME KUWA NDIO MKOBA AUPENDAO ZAIDI
Pochi yenye mchoro huo wenye mfumo wa uzazi wa mwana ume autaja kuwa ndio mkiba anao upenda zaidi pia ni moja ya mkoba alio ununua ghali zaidi kwa $445.Kweli fashion inamambo.......
MILLARD AYO KUWEPO KWENYE ORODHA YA PRESENTERS WA 5 WAKUBWA WENYE MUONEKANO MZURI ZAIDI
Bdozen
dulla
antonio lugas
sam misago
millard ayo
let u comment the name other one you know...........
dulla
antonio lugas
sam misago
millard ayo
let u comment the name other one you know...........