WEMA SEPETU AIBUKA THE SEXTEST GIRL KATIKA TUZO ZA Ijumaa sexiest girl’ SHUKA HAPA UPATE TUKIOZIMA


post April 21, 2014.


dddddddddddddddddddddMwigizaji Wema Sepetu ameshinda shindano la Ijumaa sexiest girl ambalo liliandaliwa na Global Publishers na kushirikisha watu maarufu kama Lulu, Jokate, Nelly Kamwelu na Jackline Wolper.

Wema ametangazwa mshindi kwenye tukio hilo April 20 2014 ambalo liliambatana na show kutoka kwa Weusi na Mkubwa na wanae.
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19