KAMA ULI MIC KUONA KILICHOJIRI KWENYE SWAHILI FASHION 2014 MODELS CASTING TAZAMA HAPA

  Ni siku ya Audition ya Swahili fashion ambayo hufanyika kila mwaka nahivi ndio inategemea kufaniyika  tena

KUMEKUCHA MISS TZ WAREMBO WA UWASHA MOTO GYM

                                              
http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/8.jpegWarembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili katika kambi  jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujiandaa na kinyang’anyiro hicho, na wawapo kambini huwa wanapa semina muda asubuhi na mapumziko ya mchana jioni huwa wanafanya mazoezi katika chumba maalumu cha mazoezi ‘Gym’ kwa ajili ya kujitayarisha miili yao iwe kwenye muonekano mizuri kimashindano.

MISS UNIVERSE 2014 AUDITION IN DAR




Shindano kubwa Tzee  linalo wakutanisha Walibwende wa Mikoa kadhaa ambapo wameweza kuchukua Warembo mikoa kadhaa ila wameunganisha mikoa  ambapo mikoaa  amabo wanyanda ya juuUsahili ulifanyika Mbeya na  Arusha . Bk Cop tulipiga story na Moja katiaya Majai wa Usahili huo  Seif Kabelele alifunguka kuhusu usahilihuo .

WASHIRIKI MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI


05FKB_8653
Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 wakipozi jirani na bwawa la viboko na mamba lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini.
06FKB_8716Mwongoza watalii katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi mkoani Morogoro, Benina Mwananzila akiwapa maelezo warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 juu ya bwawa la viboko na mamba lililopo katika hifadhi hiyo wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. 11FKB_9136
Mwongoza watalii katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi mkoani Morogoro, Ibrahim Kassim akiwapa maelezo warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 juu ya sifa kuu za hifadhi wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini.
02FKB_8385
Kaimu Mhifadhi Utalii katika Hifadhi ya Mikumi mkoani Morogoro, Apaikunda Mungure akiwagawia vipeperushi vilivyo na taarifa mbalimbali za hifadhi hiyo warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 waliotembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani. 
01FKB_8331
Warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika Hifadhi ya Taifa Mikumi jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. 
07FKB_8977
Warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 wakiwa Camp ya Mbuyu iliyopo katika Hifadhi ya Taifa Mikumi jana walipotembelea hifadhi hiyo ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. 

Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 wakipozi jirani na bwawa la viboko na mamba lililopo katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini.
06FKB_8716Mwongoza watalii katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi mkoani Morogoro, Benina Mwananzila akiwapa maelezo warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 juu ya bwawa la viboko na mamba lililopo katika hifadhi hiyo wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. 11FKB_9136
Mwongoza watalii katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi mkoani Morogoro, Ibrahim Kassim akiwapa maelezo warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 juu ya sifa kuu za hifadhi wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini.
02FKB_8385
Kaimu Mhifadhi Utalii katika Hifadhi ya Mikumi mkoani Morogoro, Apaikunda Mungure akiwagawia vipeperushi vilivyo na taarifa mbalimbali za hifadhi hiyo warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 waliotembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani. 
01FKB_8331
Warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika Hifadhi ya Taifa Mikumi jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. 
07FKB_8977
Warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2014 wakiwa Camp ya Mbuyu iliyopo katika Hifadhi ya Taifa Mikumi jana walipotembelea hifadhi hiyo ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. 

TAZAMA PICHA ZA WAREMBO WA SINZA,UBUNGO,DAR INDIAN OCEAN NA MSASANI NDANI YA MISS KINONDONI TALENT SHOW 2014






Huyu hapa hipper man HK 

zile catwalk zilianza hivi


Makirikiri ndani


Huyu kipaji chake alicho onyesha ni kuimba......

KUCHA ZILIZO KUWA INSPIRED NA MATUNDA

KUCHA ZILIZO KUWA INSPIRED NA MATUNDA

ghgju
                                                 Woow,,,,,

HATAREEEEE! ILE BEHIND THE SCENE YA PHOTOSHOOT KALI YA MODELS WA KALI HII HAPA,TAZAMA

 
HATAREEEEEEE!!
EJ FASHION & MEDIA inaletwa kwenu new project {photoshoot project} na hiyi hapo juu ni nyuma ya lenzi ya yalio jiri kwenye zoezi hilo la kupiga picha kwajili ya kutangaza wanamitindo wetu na kukupa wigo wewe mfanya biashara{duka languo/vipodoz},mwanamuziki,waongozaji wa

HALI YA HAPPYNESS MAGESE YAFIKIA HAPA ....SOMA ZAIDI


JINA lake kamili anajulikana kama Happiness Millen Magese. Ni mshindi wa Shindano la Miss Tanzania Mwaka 2001.Happiness Magese (35), alikuwa akifanya kazi zake za uanamitindo nchini Afrika Kusini chini ya Kampuni

TAZAMA PHOTOSHOOT KALI YA KIM AKIWA NA JUSTINE BIBER ,AMBEROSE NA PHOLO NISHIDAA








<br/><a href="http://oi38.tinypic.com/2s9zuz8.jpg" target="_blank">View Raw Image</a>
                magazine photoshoot ya Amberose   tazama enjoy na unaweza jifunza



  Nyingine hii hapa photoshoot ilio kutanisha ma staar wa wili huku wote wanamuonekano wa picha itazame

HII NDIO EVENT YA MODELS ILIYOVUNJA REKODI -EJ FASHION MODELS CALL JIONEE MWENYEWE


mchujo wa models ulianza hivi huku  N0.1 2013 -2014 Tanzania top modelAakifanya yake

nyomi la models wakike kwa wakiume wakisubiri kwa hamu audition ianze

hapo sasaa models on pozi kwelekea kwa majaji

model haki akiki uwepo wake ili kupata namber ya ushiriki kutoka kwa codinetor Jay model

palikuwa patamu hapo moja ya meza ya models wakisubiri matokeo ya usahili
Majaji kazi walikua nayo..Vichwa vyaumaa

Mmoja  wa models walio tishaa sana na kusisimuwa majaji
]

Model wakiume nao hawakuwa nyuma kuonesha manjonjo yao

big man himself.......cameraman

KIVAZI KINACHOTINGWA SANA MAJUU:JUMPSUIT FAIDI PICHA HAPA

Screenshot_2014-06-23-19-53-33-1
                                      jumpsuit banaa inakufanya mtu ujisahahu
Screenshot_2014-06-23-20-34-44-1

VHGVJUB
 Asikwambie mtu hili vazi maarufu kama jumpsuit,lina tikisa sana kwa warembo wote duniani hasa uko majuu,hakika linapendeza aficans wats up,

MISHONO MIKALI MIPYA YA VIGAUNI ,TOP DRESS NA SKETI ITAZAME HAPA

dashiki
                              kupendeza rahaa

JOKETI AACHA WATU MIDOMO WAZI KWALICHO KIPOST KUHUSU C.RONALDO,SOMA HAPA

ronaldo copyMichuano ya kombe la dunia imeendelea kuonyesha ukubwa wake kwa kuteka kila habari kuu kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, mabilioni ya watu duniani kote wakiwemo mastaa wakubwa wa kitaifa na kimataifa  wanafuatilia michuano hii ambayo ndio mikubwa kabisa katika soka duniani. 

KUMBE HIKI NDICHO KILICHOMFANYA WEMA KUNYOA UPARA.

Kumbe hiki ndicho kilichomfanya Wema kunyoa upara.

PICHA ZA PHOTOSHOOT YA KUTAGANZA NGUO ZA KUOGELEA ZA SPORAH WA SPORAH SHOW



PhotoShoot today for SPORAH TREASURE SwimWear😎#SporahSwimWearEncouraging women to wear swimsuit with confidence and smile

BAADA YA MWENZAO KUPIGWA RISASI, KANGA MOKO WAAMUA KUFANYA HILI

     
     Mnenguaji  wa Kundi la Kanga Moko, Zawia Hamis