HAPPY BIRTH DAY YA MENGI LEO:UTAZAME HAPA UJUMBE MZITO WA K LYIN KWENDA KWA MUMEWE MENGI

Leo Tarehe 29 may 204  ni  siku ya kuazimisha kuzalia kwa Mzee wetu, Reginard Mengi kama ilivyo kwawida kwa marafiki, wapenzi, ndugu na jamaa, kupitia akaunti yake ya INSTAGRAM, mwanamama Jacqueline Ntuyabaliwe aka K-Lyin amemtumia  salamu mzazi mwenzie  kwa kuweka picha hii:
Nakuandika ujumbe huu:

TAZAMA PICHA ZA MAMBO YA MKUDESIMBA NA PENNY ALIEKUWA WA DIAMOND NI UTAM UTAMU

Hehehehe mimi sina chakuongeza hapo.....Ila kaka yetu  (MKUDE SIMBA) kama hakuwa COM

PICHA 10 ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO YA CHEGE NA TEMBA ,JOKATE NA JULIO HIZI HAPA ..APANACHEZEA

Fanya kuangalia picha za utengenezaji wa video ya wimbo wa Chege na Temba "Wauwe" ambayo imeshutiwa ndani ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere 
Katika video hiyo, Chege na Temba wamewapa shavu Jokate Mwegelo na aliekuwa mshiriki wa BBA Julio ambao wametokea kama marubani wa ndege, huku picha zingine zikiwaonyesha Chege na Temba wakiwa katika ndege hiyo.

Ukiangalia picha hizo utagundua kuwa mtengenezaji wa video hiyo ni Adam Juma, ambae alishawahi kutangaza kuachana na kazi ya utengenezaji wa video za muziki.

PICHA KUMI ZA KIMAHABA ZA LEMUTUZ AKIWA NA MASTAA WA KIKE KARIBUNI WOTE UNAOWAJUA!!

Hizi ni picha za mtoto wa kiume wa mwansiasa nguli nchini John Maleccela, William aka Lemutuz..Kwafujo jana ameamua kuweka picha za mastaa wanawake wote aliopiganao picha kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM..Hahaha Huyu jamaa anambwembe....Hebu tuzione!!....

AKIWA NA HAMISA

LULU