Msani huyo mkubwa ajulikanae kwa jina la Davido anaetamba na ngoma yake kibao ikiwemo skeleuwu,aonekana akiwa jogoo amewika baada ya kupiga picha za mitego na mrembo kutoka kenya vve beiby....wakatupia wenywe mtandaoni
ANGALIA KILICHOMKUTA DAVIDO BAADA YA KUTEGWA NA MREMBO WA KIKENYA
Msani huyo mkubwa ajulikanae kwa jina la Davido anaetamba na ngoma yake kibao ikiwemo skeleuwu,aonekana akiwa jogoo amewika baada ya kupiga picha za mitego na mrembo kutoka kenya vve beiby....wakatupia wenywe mtandaoni
MWANAFUNZI AJICHOMA KISU BAADA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE {2013] KUTOKA

Kijana ambae jina lake halija famika mpaka sasa,aneishi mwnanyamala dar es salaam anae semekana kuwa ni mwanafunzi ambae limaliza kidato cha nne mwaka jana yan elfu 2013 alikutwa amejichoma kisu shingoni na kuwahishwa hospital ,huku chanzo kikisemekana kuwa ni matokeo yako ya kidato cha nne,matokeo yake hayakuwa mazuri maana amefeli kwakupta ziro
LULU MICHAEL APEWA DILI LAKUFURU NA KAMPUNI YA ZUKU

Msanii Elizabeth Michael Michael maarufu kwa jina la LULU apost picha akiwa ameshika cheti cha kuwa balozi wa kampuni kubwa ya digital inayofamika hasa kwa kuwa navingamuzi vya digital.....
lulu sasa ni balozi wa zuku products hasa vingamuzi vya zuku na zuku tv .
MATOKEO YA KIDATO CHA 4 {2013} YATOKA ,NIKISANGA TAZAMA HAPA
Baraza la Mitihani la Tanzania limetangaza matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2013 na kiwango cha ufaulu Kimeongezeka kwa asilimia kati ya 0.61 na 16.72 ukilinganisha na mwaka 2012.
Jumla ya watahiniwa laki 235,227 sawa na asilimia 58.25 ya waliofanya mtihani wamefaulu.
Wanafunzi 74,324 sawa na asilimia 21.09 wamefaulu katika madaraja ya I -III.
Wavulanawaliopata daraja la kwanza (division one) ni 5,030 na wasichana ni 2,549
Waliopata daraja la pili (Division 2) Wavulana ni 14,167 na wasichana ni 7,561
Waliopata daraja la pili (Division 2) Wavulana ni 14,167 na wasichana ni 7,561.
Wavulana waliopata daraja la tatu (Division 3) ni 27,904 na wasichana ni 17,113.
Jumla ya wanafunzi waliopata daraja la 4 (division 4) ni laki 126,828, wasichana wakiwa 62,841 na wavulana 63,987.
Jumla ya wanafunzi laki 151,187 wamepata '0' (division ziro) . Wasichana ni 72,237 na wavulana ni 78,950.
........hongera toka ejfashion kwako uliefaulu..........
PICHA ZA MH MENGI NA MKEWE KEILIN NDANI YA MABAHA HUKO NCHINI MAREKANI

loading.........network inasumbua endelea kutembelea blog hii
picha kibao zinakuja
HAMISA HAJAWAHI TIWA!! ,NIMANENO YALIOPOSTIWA NA MCHUMBA WA PREZO MTANDAONI
icho ndicho kilichoandakwa humo

huyo apo ndio chagabeibe na mpenziwe prezo
PENNY ADAIWA KUTUMIA BANGI ILI KUJIEPUSHA NA MSONGO WA MAWAZO YA MAPENZI

penny na rafiki yake batani na sigara mkononi

penny mtangazaji wa dtv na alikuwa mchumba wa diamond plutinums