UNAAMBIWA KWA PICHA HIZI LAZIMA DAVIDO ATARUDI KWA X-GIRLFRIEND WAKE

Unaambiwa kwamba mwanamuziki kutoka Nigeria huenda akarudi tena kwa mpenzi wake wa zamani baada ya kuona picha za mrembo huyo ambaye sasa anaonekana kuwa mrembo zaidi ya kipindi yuko nae penzini.  

TAZAMA VIDEO YA WEMA SEPETU AKIJIACHIA NA PETIMANI HUKU AKIIMBAA WIMBO WA DIMPOZ ,NI Shidaar

Madame mwenye TEAM kubwa zaidi ya MAFANZI aka TEAMWEMA(Unaweza kuwaita Wapambe, Mashabiki, nk), haipiti siku bila kuokea kwenye magazeti ya UDAKU na blogu kama hii (Kwamazuzi au mabaya), Huyu sio mwingine ni MPENDWA wetu WEMA SEPETU...hahahaaha!!



Kupitia  Ukurasa wake wa INSTAGRAM ameshare nasi Video Clip fupi akiwa ndani ya gari anaimba na kucheza windo wa msanii Ommy Dimpoz....Ndagushima. Hayupo pekeyake yupo na mfanya kazi wake PETIMANI WAKUACHE!!! Jionee mwenyewe!!!PLAY


AGNES MASOGANGE ACHAFUA HALI YA HEWA INSTA HUKU DIAMOND KUHUSISHWA KWENYE HILI...TAZAMA

kufuatilia TRENDs za Agnes Masogange kwenye mtandao wa INSTAGRAM.
Kama mnavyojua dada yetu MASOGANGE  kwa muda sasa yupo nchini SAUZI na amekuwa sio mchoyo wa PICHA zake, wakati wote amekuwa anashare nasi picha zake kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM
Sasa mimi sijajua SAUZI anafanya nini...(Kwa bongo hapa huwa anajishughulisha na kazi ya  u-VIDEO KWINI)
Kupitia kile anachoweka huko INSTAGRAM hatimaye imedhihilika wazi kwa jamaa hapo pichani anaitwa Louis Dolnard.... ndio mpango mzima kwa dada yetu...TEMBEA NAMI:

Picha ya kwanza ya huyu jamaa alipost  miezi miwili iliyopita!!!

Wambea tukapotezea!!! Dah

Wiki iliyopita alitupia tena picha ya huyu jamaa bila kuandika chochote ......washambenga tukahisi kuna....MAUMIVU NIACHE ....MAHABA NIKUMBATIE hapa....hahahahahaha!!!!

Na kweli  toka jana usiku fujo ikaanza huko INSTAGRAM..Masogange aliweka picha hapo chini na kuandika"Mtoto si unanielewa, in diamond voice" punde jamaa nae akaposti the same picha na kuandika  "With my Everything"

Daah kumbe nilikuwa nachelewa...jamaa kitambo alishawekawazi kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM.....

HII NDIO MAHABA NIUWE....BWANA WA SHILOLE AJICHORA TATTOO KWAJILI YA SHILOLE ITAZAME HAPA


hahaha mahaba niuweee! baadaya ya picha hiyo maneno hayo hapo chini yaliandikwa na shilolee..Instagram

DAH KUMBE MCHINA MUDA MWINGINE ANASINGIZIWA TAZAMA HAPA LIVE MCHEZO MZIMA WA BAADHI YA DADA ZETU


                        KUMBE NI MAMBO YA FASHION NA SIO MADAWA YA MCHINA

TAZAMA HAPA VIDEO YA PERFORMANCE YA DIAMOND NA DAVIDO KWENYE MTV MAMA FINALS 2014



                                                              HII NI RECORD KWETU WATANZANIA NA DUNIA NZIMA..

NENO LA KWANZA MTANDAONI TOKA KWA DIAMOND BAADA YA KUTOKUFANIKIWA KUCHUKUWA TUZO ZA MTV MAMA

CaptureMacho na masikio ya Watanzania wengi kwa siku ya Jumamosi June 07 yote yalielekezwa Durban Afrika Kusini sehemu ambako zilikua zikitolewa tuzo za wateule wa MTV Afrika Music Award ‘MAMA’.
Furaha tuliyokuwa nayo Watanzania ilikua kubwa baada ya kuona kijana kutoka nyumbani Tanzania kuwa ni miongoni mwa vijana wanaochuana kwenye tuzo hizo tena akiwa vipengele viwili,ingawa bahati haikua njema kwa Diamond kwani hakufanikiwa kupata.
MOND22Baada ya kutangazwa washindi hao na yeye kutokuwepo Dimaond Platnumz ameandika maneno haya kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii>’Maisha ni Hatua.. Nafkiri kwa mwaka huu ile ndio ilikuwa hatua yetu kwa MTV…Cha muhimu ni kujua wapi tulipokua mwaka jana na wapi tulipo leo… pia kujifunza na kujua ni nini cha kuongeza zaidi ili Next tym tuzidi kufanya vyema…. Shukrani zangu nyingi ziende kwa Mashabiki
wote,Management, Media,Family, wasanii na wadau Mbalimbali kwani kwa nguvu zao ndio zimefanya leo kunisogeza toka sehem moja kwenda nyingine…Next stop #BET!!!… Asante sana #Sheriangoi kwa Suti Hii’.
Diamond Platnumz alikuwa pia ni moja kati ya watumbuizaji wa ugawaji wa tuzo hizi,ambapo kwa namna alivyoingia kwenye jukwaa na Davido  ilimfurahisha kila mtu aliyekuepo ukumbini na watu waliokuwa wakiangalia nyumbani kupitia DSTV

Shamsa Ford aongela picha kuhusu yeye na mbunge kula utamu kititandani zilizopo mtandaoni

Picha chafu zinazodaiwa kuwa za star wa filamu nchini Shamsa Ford na mbunge wa Chadema, Salvatory Machemli zimeanza kusambaa kwa kasi mitandaoni tangu jana,. Picha hizo zinawaonyesha wawili hao wakiwa kitandani kwenye mahaba mazito. Hata hivyo picha hizo zinatia shaka kuwa sio halisi ni za kutengenezwa ingawa hatuna uhakika kwa asilimia zote kwasababu msichana anayedaiwa kuwa Shamsa Ford ana umbo tofauti na la star huyo,