ilikuwa ni juzi kwenye show
 yangu TCC chang'ombe.ambapo sikuwa na mwanangu,Nay true boy
 so ilinibidi niombe mtu
 mmoja kati ya mamia ya mashabiki waliokuwepo..
 amwakilishe True boy kwenye music gani ndipo dogo akajitokeza
...na siku hiyo ndiyo 

nimekubali kweli vipaji 
vya kweli vinatoka huku kwetu uswahilini...the
 kid is so talented saana,mbali na kuimba mule mule kama nay,lakin
 pia alijua kucheza na mashabiki,kucheza na jukwaa, ni kama
 mzoefu wa majukwaa siku nyingi..
angalia mwenyewe


Ads not by this site
 Nikimsikiliza kwa makini huku nisiamini anachokifanya dogo

 eheee...!!!!!!

Ads not by this site
 my turn......!!!!!
 Mwangalie vizuri dogo alikuwa akienda mule mule..........!!!!


Ads not by this site




Ads not by this site




Ads not by this site

 
Top