tazama video ya tukio hilo

    Mchezaji kikapu maarufu toka Tanzania Hasheem Thabit anaechezea timu ya kikapu  itwayo Oklahoma  inayoshiriki ligi kuu ya mpira wa kikapu ya Marekani,hatimaye anatumikia adhabu ya kufungiwa kutocheza  mechi moja na kukatwa mshaara na timu yake baada ya kumpiga kichwa mchezaji wa timu ya New Orleans katika mchezo ulio kutanisha timu hizo ambapo timu ya New Orleans iliibuka naushindi wa vikapu 105 thidi ya 105.
 
Top