Staa wa Bongo Fleva,Nasib Abdul,Diamond Platinumz ametembelea pande za Leaders Club na kuona jinsi maandalizi ya jukwaa la serengeti Fiesta likiendelea na kuwaambia mashabiki kuwa ataangusha bonge la shoo kama kawaida yake na mashabiki waende kushuhudia tu siku ya Jumamosi Oct.26.
Pia kupitia mtandao Diamond aliandika kuwa.....Kwa heshima ya Mashabiki zangu Nchi na Taifa langu ilinibidi nirudi Maalumu kabisa kwajili ya Shoo hii ya Fiesta Jumamosi pale Leaders Club ili kuwakaribisha wageni zetu toka nje... lakini pia kuwadhihirishia Wageni Hao kuwa Tanzania si ya legelege imebarikiwa Wasanii na wenye uwezo...! Tukutane pale…
Staa wa Bongo Fleva,Nasib Abdul,Diamond Platinumz ametembelea pande za Leaders Club na kuona jinsi maandalizi ya jukwaa la serengeti Fiesta likiendelea na kuwaambia mashabiki kuwa ataangusha bonge la shoo kama kawaida yake na mashabiki waende kushuhudia tu siku ya Jumamosi Oct.26.
Pia kupitia mtandao Diamond aliandika kuwa.....Kwa heshima ya Mashabiki zangu Nchi na Taifa langu ilinibidi nirudi Maalumu kabisa kwajili ya Shoo hii ya Fiesta Jumamosi pale Leaders Club ili kuwakaribisha wageni zetu toka nje... lakini pia kuwadhihirishia Wageni Hao kuwa Tanzania si ya legelege imebarikiwa Wasanii na wenye uwezo...! Tukutane pale leaders on saturday Madau wangu...


 
Top