https://www.facebook.com/theclicktz
Reymond shidres ndio jina halisi la mwanaume anae ongoza wanume wanao fanya mapenzi ya jinsia moja yan Mashoga ambae masikan yake ni Dubai ambae juzi juzi tu alingia nchini Uganda na kundi la wenzake huku akiungana na mashoga wa nchini humo kwajili ya kutetea na kushawishi uwongozi wa nchi hiyo kuruhusu ndoa na mapenzi ya jinsia moja.......
HAKIKA JAMII  TUNATAKIWA KUPIGA VITA LAANA HII YA USHOGA!!
 
Top