Msanii mkubwa  wa muziki Afika kwa anaetokea Nchini Tanzania ajulikanae kwajina la Diamond plutinumz
amekuwa akionekana na muonekano wa kiduku kupana chenye blich kichwani ,sasa picha hiyo hapo juu imemuonesha akiwa nakipara na kuzua vichekesho,zarahu,majadiliano mengi hasa kwa mashabiki wengi wamziki .....

muone kano tulio uzoea


 
Top