fe6d6858c5aa11e3bd990002c9c63244_8
Msanii nyota kutoka Bongo Diamond Platnumz ameonekana akiwa na tattoo nyingine mbili kwenye mwili wake tofauti na zile alizochora akiwa China. Tattoo hizo kama ukiitizama hii picha ya juu vizuri utaona kuna tattoo iliyoandikwa CHIBU pamoja na mkononi hapo iliyoandikwa SANDRA.


 
1601421_709182579145867_5780495853591675947_n
10009287_10154023486165483_3612149785712991699_n
Siku ya tarehe 15 mwezi huu mchora tattoo maarufu hapa Bongo alipost picha hii akiwa na Diamond na kuandika status hii nainukuu
UNAWEZA SOMA >>> HIZI NDIO MBINU ZA KUMUWEZA, MWANAMKE ALIYE MGUMU KUTONGOZEKA  
“A late night Tattoo session (4am) with a friend who is our very own Diamond Platinumz. Next session Pizza on me (lol), stay blessed. Shout out Romeo Romy Jones, one love.”

So inaonyesha kabisa kuwa tattoo hizi mbili Diamond alizichora kwa master huyu anayejulikana kwa jina la BOAZ ndiye aliyemchora Diamond.
 
Top