birthday yake. 
Tukio hilo la aina yake lilijiri Aprili 16, mwaka huu ndani ya Hoteli ya Regency, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo
                                                               Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya lulu
marafiki wa Lulu wasio mastaa walimwangushia ‘sapraizi’ ya nguvu ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa (bethidei). Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho kilizama ndani ya sherehe hiyo bila waalikwa wote kujua kuwa ni ‘shushushu’ wa
NGUO KAMA YA NICK MINAJI WAKATI AKIELEKEA KWENYE SHEREHE HIYO

kujitegemea, Lulu aliitwa kwenye sherehe hiyo akiwa hajui kitu japokuwa akilini mwake alitambua kuwa siku hiyo ni bethidei
yake.    

https://www.facebook.com/EjFashionMedia#
 
Top