tattoo kwenye maziwa


                           tattoo kiunoni



                                     tattto mapajani na mgongonii
Tattoo ni michoro mbali mbali inayo chorwa kwenye mwili wa myamaa hasa mwanadamu,wengi ujiuliza kwa nini watu wana wake kwa waume huchora tatu ? Jibu kubwa kulingana na utafiti ni tattoo huwa moja ya
urembo kwenye miili yao.
Wanawake wao wameonekana kuchora tattoo hizo kwenye sehemu zaonza siri zaidi kuliko sehemu za kawaida za mwili wao na watu hujiuliza nini sababu kubwa?? JIbu ni urembo unaopendezesha na kuvutia zaidi wanaume{kimapenzi} pale endapo wakiona sehemu hizo za siri zikiwa zimepambwa na tattoo.

 
Top