Warembo wa wili wenye umaarufu nchini na nje ya nchi ya tanzania  wanaotambulika kwa majina Wema sepetu na Jokate Mwegelo ,ambao urafiki na ujirani wao ulipotea baina yao hivi kwa mdaa sasa baada ya sakata lao kuchukuliana bwana " DIAMOND PLUTINUMZ".Ila baada ya msiba wa baba mzazi wa wema sepetu Jokate aliuzuria msiba huo kulingana na maelezo ya maneger wa Wema sepetu ambaye ni Martin Kadinda, alisema" nimefurahi na kustajabu kumuona jokate akijumuhika nasi katika msiba wa baba yetu mzee Abraham Sepetu maana ajawahi shirikiana nasi kwa muda mrefu sana sasa"hivyo msiba huo umeweza wakutanisha warembo hao.
 
Top