Huu sio mchezo wa kuigiza wala sio utani imetokea huko nchini Nigeria,ambapo nguvu za giza zimezidi sana,hivyo mapepo ,mashetani na hata maruwani yamekuwa ndani ya watu huku wachungaji wakifanya maombi kuyatoa mapepo na mazingara hayo kwa watu.Sasa hio picha hapo juu ni moja ya picha ilioshangaza maana mchungaji maarufu nchini  humo huyo amekuea akiombea watu uku akiwashika sehemu za siri.

 
Top