Mwanafunzi alijinyonga siku moja kabla ya mthiani wa taifa wa kidato cha nne alie julikana wa jina la Khamis Mkundo mkazi wa Mwangata.

Mwenyekiti  wa serekali ya Mwangata C Bw salehe Mwingwa akiisoma barua ilioandikwa na kuachwa nakijana huyo yenye ujumbe wa sababu ya yeye kujinyonga ambayo ni uwoga wa mthiani wa taifa wa kidato cha nne 2013.

 
Top