http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/8.jpegWarembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili katika kambi  jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujiandaa na kinyang’anyiro hicho, na wawapo kambini huwa wanapa semina muda asubuhi na mapumziko ya mchana jioni huwa wanafanya mazoezi katika chumba maalumu cha mazoezi ‘Gym’ kwa ajili ya kujitayarisha miili yao iwe kwenye muonekano mizuri kimashindano.


http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/11-1.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/2.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/6.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/12.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/5.jpeghttp://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/1.jpeg
 
Top