Latest News

VIPODOZI{mkorogo} VYA MFANYA VIBAYA DAYNA NYANGEVIPODOZI{mkorogo} VYA MFANYA VIBAYA DAYNA NYANGE

Msani wa muziki wa kizazi kipya kutoka hapa nchini tanzania ,amekuwa mtu wa kushangawa na kuwapa watu wengi maswali baada ya muonekano wake kubadilika yani rangi ya mwili wake kubadilika sana kwasababu inayo daiwa kuwa ametumia vipodozi vya kujichibua maarufu kama mkorogo na huo ndio muone kano wak…

Read more »
18Sep2013

PICHA ZA CRISTIANO RONALDO NA RIHANNA WAKIFANYA YAO ZIPO HAPAPICHA ZA CRISTIANO RONALDO NA RIHANNA WAKIFANYA YAO ZIPO HAPA

Picha nyingi za ukaribu kati ya mwanamuziki maarufu duniani Rihanna  na mwanasoka mashuhuri duniani anae chezea timu kubwa ya club ulimwenguni  Real madrid zimekuwa zikitawala kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii  huku kila mtu akijiuliza zina maanisha au kuashiria nini hasa ,ila mwisho wa siku ki…

Read more »
18Sep2013

AINA KUMI ZA  MABUSU {kisses} NA MAANA ZAKE HIZI HAPAAINA KUMI ZA MABUSU {kisses} NA MAANA ZAKE HIZI HAPA

Ukweli busu ni kitu kinachoshangaza hasa kutokana na raha yake, wengi hufurahia sana kutoa na kupokea busu na bado tunakumbukumbu halisi za busu la kwanza lilivyokuwa.Inawezekana na wewe ni moja ya wale wanaotafakari ladha ya busu la kwanza itakuwaje, Please relax kila jambo na wakati wake na majir…

Read more »
17Sep2013

SEVERINA LWINGA ATWAA TAJI LA PESONALITY MISS TANZANIA 2013SEVERINA LWINGA ATWAA TAJI LA PESONALITY MISS TANZANIA 2013

Mrembo Severina Lwinga juzi alifanikiwa kuwa mrembo wa tano kuingia nusu fainali ya shindano la Redd's Miss Tanzania 2013 baada ya kutwaa taji la Miss Personality 2013. Mshindi wa taji hilo anapatikana kwa kupigigiwa kura na warembo wenzake. Severina ameungana na Miss Tanzania Photogenic 2013, Happ…

Read more »
17Sep2013

 PICHA ZA DIAMOND AKIMFUNDISHA HOW TO DO  GOLOLO  RAY KIGOSI  NOMA SANA PICHA ZA DIAMOND AKIMFUNDISHA HOW TO DO GOLOLO RAY KIGOSI NOMA SANA

Watu wache tulalee......…

Read more »
17Sep2013

BEYONCE ABADILIKA NA KUWA NGUVA KATIKA MOJA YA SHEREHE ZA HARUSI ALIZO HUZURIA HIVI KARIBUNIBEYONCE ABADILIKA NA KUWA NGUVA KATIKA MOJA YA SHEREHE ZA HARUSI ALIZO HUZURIA HIVI KARIBUNI

Mwana miziki mkumbwa duniani Beyonce akiwa  karibu na mumewe Jay Z katika zulia le kundu katika harusi ya rafiki wao lybrown james,wakiwa wamwpendeza sana huku mwana mama huyo akiwa amevaa nduo yenye umbo la samaki nguva .Nguo hiyo  imezua gumzo baada ya wa tu kudai kuwa alibadilika kuwa nguva kwa …

Read more »
17Sep2013

DAYNA  NYANGE AINGIA KWENYE TASNIA  YA FASHION AKIWA NA JOKATE MWEGELODAYNA NYANGE AINGIA KWENYE TASNIA YA FASHION AKIWA NA JOKATE MWEGELO

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dayana Nyange ,ameonekana mara nyingi akiwa karibu na mwana mitindo maarufu jokate Mwegelo,amekuwa akidai yakuwa hivi karibuni ataingia kwenye tasnia ya fashion akiwa kama mwanamitindo,au mbunifu wa mavazi ,hivyo jokate ndio rolemodel wake ndio maana pia wapo karibu…

Read more »
17Sep2013

PICHA ZA HAPPINES WATIMANYA{19} MSHINDI WA MISS REDDS PHOTOGENICPICHA ZA HAPPINES WATIMANYA{19} MSHINDI WA MISS REDDS PHOTOGENIC

Redd’s Miss Tanzania Photogenic 2013, Happiness Watimanywa (19) akipozi kwa p[icxha mara baada ya kuibuka mshindi wa taji hilo na kuwa mrembo wa kwanza kutinga nusu fainali za Miss Tanzania 2013 baada ya kuwashinda warembo wenzake 29 katika shindano hilo dogo kuelekea fainali za Redd’s Miss Tanzani…

Read more »
17Sep2013

MISS TABATA ASHINDA TENA TAJI LA MISS REDDS ILALAMISS TABATA ASHINDA TENA TAJI LA MISS REDDS ILALA

  Redds Miss Ilala Dorice Mollel (katikati) akipozi na washindi wenzake. Kutoka kulia ni mshindi wa pili Alice Isaac na mshindi wa tatu Clara Bayo.    Redds Miss Ilala 2013 Dorice Mollel(kulia) akiwa na Noela Michael aliyemaliza muda.Miss Tabata Dorice Mollel (22) usiku wa kuamkia jana aliwashinda …

Read more »
16Sep2013

PICHA ZA  RED CARPET YA  SHOW YA TUPOGO NIGHT PICHA ZA RED CARPET YA SHOW YA TUPOGO NIGHT

hivi ndivyo ilivyo noga......…

Read more »
16Sep2013

MATANGAZO NA MAONYESHO YA NGUO ZA NDANI YATAWALA SHOW YA LEADERS CLUB  KILIMANJARO AWARDS TOURMATANGAZO NA MAONYESHO YA NGUO ZA NDANI YATAWALA SHOW YA LEADERS CLUB KILIMANJARO AWARDS TOUR

Hivyo ndivyo nguo za ndani zilivyo onyeshwa na wasanii pamoja na wa rembo mbalimbali katika jukwaa la kilimanjaro awards tour leaders club..........…

Read more »
16Sep2013

VIATU  VYA KITANDANI VYA JOKATE  NI NOMA SANAVIATU VYA KITANDANI VYA JOKATE NI NOMA SANA

" Huwa napenda sana kuvaa  viatu vya kutandani ambavyo kwa wengi hujulikana na uitwa socks "hivyo ndivyo fashion inavyo mpeleka mwanamitindo maarufu jokate mwegelo,hivyo ukiona picha ya miguu yake ikiwa na socks basi kichwa[CAPTION] ya picha hiyo itakuwa ni usiku mwema au za asubuhi....…

Read more »
15Sep2013

LUCCI AZIMA ZOGO KUHUSU KAKA NA DADA KWA KUMVISHA PETE LULULUCCI AZIMA ZOGO KUHUSU KAKA NA DADA KWA KUMVISHA PETE LULU

Producer mkubwa wa musiki wa tanzania maarufu kwajina la Lucci ,amezima gumzo la fununu za yeye kutembea{mausiano ya kimapenzi} na mwanamitindo maharufu Jokate mwegelo baada ya kumpigia goti nakumvisha pete ya uchumba mwana dada lisa aka lulu.Pia picha zauvishaji wa pete hiyo zimerushwa na kuonekan…

Read more »
15Sep2013

RIHANNA  AONYESHA MKOBA WENYE MCHORO WA MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME KUWA NDIO MKOBA AUPENDAO ZAIDIRIHANNA AONYESHA MKOBA WENYE MCHORO WA MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME KUWA NDIO MKOBA AUPENDAO ZAIDI

Pochi yenye mchoro huo wenye mfumo wa uzazi wa mwana ume autaja kuwa ndio mkiba anao upenda zaidi pia ni moja ya mkoba alio ununua ghali zaidi kwa $445.Kweli fashion inamambo.......…

Read more »
15Sep2013

MILLARD AYO  KUWEPO KWENYE ORODHA YA PRESENTERS WA 5 WAKUBWA WENYE MUONEKANO MZURI ZAIDIMILLARD AYO KUWEPO KWENYE ORODHA YA PRESENTERS WA 5 WAKUBWA WENYE MUONEKANO MZURI ZAIDI

                                                               Bdozen                                                            dulla                                                      antonio lugas                                                            sam misago                            …

Read more »
15Sep2013
 
Top