WEMA ABADILI NGOZI YAKE KWA SIRI...ATUMIA SH. MIL 13. HABARI ZIMEVUJA NA YEYE ATHIBITISHA...BOFYA HAPAWEMA ABADILI NGOZI YAKE KWA SIRI...ATUMIA SH. MIL 13. HABARI ZIMEVUJA NA YEYE ATHIBITISHA...BOFYA HAPA

IMEVUJA! Kumbe ile safari ya nchini China ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu ‘Madam’ lengo lilikuwa kubadili ngozi ya mwili wake katika mwonekano mpya ambayo ilishaharibika kwa mkorogo, Amani limetonywa. Wema Sepetu ‘Madam’. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, staa huyo aliingia nchini humo na mdogo…

Read more »
26Oct2013

TAZAMA LULU ALIVYO  FANANA NA BIBI  YAKE [COPY RIGHT]TAZAMA LULU ALIVYO FANANA NA BIBI YAKE [COPY RIGHT]

LULU MICHAEL NA BIBI YAKE Mwigizaji maarufu na wa filamu na maigizo ya kibongo Lulu amepiga picha hiyo na bibi yake  mzaa mama baada ya  bibi huyo kuja dar es salaam kumtembelea mwanae {mama wa lulu} na wajukuu zake. Eti wanafanana toa maoni yako hapo chini …

Read more »
26Oct2013

TAZAMA HOMA YA FIESTA ILIVYO MFANYA  DIAMOND  PANDE ZA LEADERSTAZAMA HOMA YA FIESTA ILIVYO MFANYA DIAMOND PANDE ZA LEADERS

Staa wa Bongo Fleva,Nasib Abdul,Diamond Platinumz ametembelea pande za Leaders Club na kuona jinsi maandalizi ya jukwaa la serengeti Fiesta likiendelea na kuwaambia mashabiki kuwa ataangusha bonge la shoo kama kawaida yake na mashabiki waende kushuhudia tu siku ya Jumamosi Oct.26. Pia kupitia mtand…

Read more »
25Oct2013

Picha, Ney Wa Mitego Akiwa Sero kisha afunguga kilicho msibuPicha, Ney Wa Mitego Akiwa Sero kisha afunguga kilicho msibu

 Rapper Ney Wa Mitego ameniambia kuwa hii picha hapo juu tukio hilo limetokea Jana wakati wana shoot video ya wimbo wake Unaofanya vizuri kwa sasa kwenye radio stations ' Salam Zao'.Ney Wa Mitego Amesema ' Nikweli nilitupwa sero jana baada ya raia wasio julikana kuleta fujo eneo la kazi yangu  kwas…

Read more »
25Oct2013

PICHA ZA MAPOKEZI YA MAHOMBI UWANJA WA NGEGE PICHA ZA MAPOKEZI YA MAHOMBI UWANJA WA NGEGE "Dar" NI KUFURU

Posted by Teen Newz on October 25, 2013 at 12:53pm0 Comments 0 Likes View as"ej fashionrealmedia" after few minutes for more photos for arrival of international artist coming for fiesta ,itakayo happen 26.10.2013.... …

Read more »
25Oct2013

HASHEEM THABIT  ATUMIKIA KIFUNGO KILICHO MKABILIHASHEEM THABIT ATUMIKIA KIFUNGO KILICHO MKABILI

                                                       tazama video ya tukio hilo     Mchezaji kikapu maarufu toka Tanzania Hasheem Thabit anaechezea timu ya kikapu  itwayo Oklahoma  inayoshiriki ligi kuu ya mpira wa kikapu ya Marekani,hatimaye anatumikia adhabu ya kufungiwa kutocheza  mechi moja n…

Read more »
24Oct2013

PICHA ZA HAPPY BIRTH DAY YA AMBER ROSE AKIWA NA  WIZ KHALIFA  mMHPICHA ZA HAPPY BIRTH DAY YA AMBER ROSE AKIWA NA WIZ KHALIFA mMH

  Amber Rose Akiwa Na Mume Wake Wiz Khalifa, Wamesherekea Siku Ya Amber Ya Kuzaliwa Pamoja. Fahamu kuwa Amber Rose amezaliwa siku moja na mchumba wa x Boy Friend wake Kanye West ambaye ni Kim Kardishian, Wote wamezaliwa 21 October. Pamoja na kuwa na majukumu ya ziara za muziki Wiz Khalifa ameweza k…

Read more »
23Oct2013

HAWA NDIO VIGOLI WAPYA TISHIO LA WANAMUZIKI  WA BONGO FLAVAHAWA NDIO VIGOLI WAPYA TISHIO LA WANAMUZIKI WA BONGO FLAVA

Classic girls interviewed by Mishery&Jenje{presenters}                                                                                                   Florah                                                           Menina                                                     Clasiic girls togethe…

Read more »
23Oct2013

TAZAMA SALAMA JABIR ALIVYO WATUKANA  WASHIRIKI 20 WA EPIQ TAZAMA SALAMA JABIR ALIVYO WATUKANA WASHIRIKI 20 WA EPIQ

** *Mtangazaji wa Kipindi cha Mkasi kinachorushwa hewani kupitia kituo cha EATV Salama Jabir, wa pili kutoka kushoto akidauiwa kutukana kwa kutumia ishara ya kidole wakati walipokuwa kwenye moja ya haraka za kurekodi matukio ya kipindi cha EPIQ BSS 2013, kinachorushwa hewani kupitia kituo cha TBC1,…

Read more »
21Oct2013

CHEKI GARI ANAYOTUMIA NICK MINAJ SASA NI NOMA SANACHEKI GARI ANAYOTUMIA NICK MINAJ SASA NI NOMA SANA

  Nicki Minaj ni msanii asiye na aibu ya kusema mambo gani anapenda kwenye maisha yake na yupo tayari kufanya nini kuyapata. Hivi karibuni alikuwa kwenye duka la K Mart akizindua nguo zake na aliwasili na gari yake mpya iliyo tengenezwa na kuboreshwa kwa matakwa yake, Yes ndio hio Pink lamborghini …

Read more »
21Oct2013
 
Top