TANZAMA SEX DANCING STYLES TOKA NIGERIA ILIO ZINDULIWA HIVI TAMASHANITANZAMA SEX DANCING STYLES TOKA NIGERIA ILIO ZINDULIWA HIVI TAMASHANI

Katika tamasha  moja nchini Nigeria style myaa ya kucheza muziki inatoitwa sexstyles dance,ilionyeshwa na mwanamuziki na  mchezaji wake jukwaan ,,,sijui na tanzania tutaigaa hii baada ya kuiga alingo,skelewuu styles? …

Read more »
14Dec2013

NEY WA MITEGO NA DIAMOND WAMVULIA KOFIA HUYU DOGO NEY WA MITEGO NA DIAMOND WAMVULIA KOFIA HUYU DOGO

ilikuwa ni juzi kwenye show  yangu TCC chang'ombe.ambapo sikuwa na mwanangu,Nay true boy  so ilinibidi niombe mtu  mmoja kati ya mamia ya mashabiki waliokuwepo..  amwakilishe True boy kwenye music gani ndipo dogo akajitokeza ...na siku hiyo ndiyo  nimekubali kweli vipaji  vya kweli vinatoka huku kw…

Read more »
10Dec2013

HICHI NDICHO MSANII MAARUFU DUNIAN KELLY ROWLAND ALICHO KIFANYA AKIWA UWANJA WA FISI,DARHICHI NDICHO MSANII MAARUFU DUNIAN KELLY ROWLAND ALICHO KIFANYA AKIWA UWANJA WA FISI,DAR

Msanii maarufu wa Marekani Kelly Rowland, ametinga uwanja wa fisi Manzese Dar es salaam jana jioni baada ya kusikia sifa za maeneo hayo ya Uswahilini tangu akiwa USA. Msanii huyo ametua nchini kwa tiketi ya MTV kupitia taasisi yake inayojishughulisha na kampeni za kupambana na Ukwimwi (Staying Aliv…

Read more »
09Dec2013

TAZAMA PICHA {20]WANAMITINDO WA IFANYA SWAHILI FASHION WEEK HABARI YA MJINITAZAMA PICHA {20]WANAMITINDO WA IFANYA SWAHILI FASHION WEEK HABARI YA MJINI

SASA HII COMING EVENT SIO YA WEWE KUKOSA!! …

Read more »
09Dec2013

HATIMAE HUYU NDIO MSHINDI WA TUSKER PROJECT FAME 6 MWAKA 2013HATIMAE HUYU NDIO MSHINDI WA TUSKER PROJECT FAME 6 MWAKA 2013

Huyu ndio mshindi wa TUSKER PROJECT FAME 6 kwa mwaka huu 2013 anaitwa HOPE kutoka BURUNDI.…

Read more »
08Dec2013

HIVI NDIVYO KANYE WEST ALIVYOJIBU MAPIGO YA RAISI OBAMA JUU YAKEHIVI NDIVYO KANYE WEST ALIVYOJIBU MAPIGO YA RAISI OBAMA JUU YAKE

Rapper Kanye West amemtolea Uvivu Rais Barack Obama wa Marekani kwa kumzuia kutaja jina lake popote na wala la Mpenzi wake Kim Kardashian...Hii inakuja kama ni kujibu mapigo baada ya raisi wa marekani kumuita Kanye kuwa ni "Jack Ass" yaani mtu mjinga ama Chizi hivi ...Mwaka 2009 kwa mara ya kwanza …

Read more »
08Dec2013
 
Top