Latest News

ANGALIA KILICHOMKUTA DAVIDO BAADA YA KUTEGWA NA MREMBO WA KIKENYAANGALIA KILICHOMKUTA DAVIDO BAADA YA KUTEGWA NA MREMBO WA KIKENYA

Msani huyo mkubwa ajulikanae kwa jina la Davido anaetamba na ngoma yake kibao ikiwemo skeleuwu,aonekana akiwa jogoo amewika baada ya kupiga picha za mitego na mrembo kutoka kenya vve beiby....wakatupia wenywe mtandaoni…

Read more »
22Feb2014

MWANAFUNZI AJICHOMA KISU BAADA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE {2013] KUTOKA MWANAFUNZI AJICHOMA KISU BAADA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE {2013] KUTOKA

Kijana ambae jina lake halija famika mpaka sasa,aneishi mwnanyamala dar es salaam anae semekana kuwa ni mwanafunzi ambae limaliza kidato cha nne mwaka jana yan elfu 2013 alikutwa amejichoma kisu shingoni na kuwahishwa hospital ,huku chanzo kikisemekana kuwa ni matokeo yako ya kidato cha nne,matokeo…

Read more »
21Feb2014

LULU MICHAEL APEWA DILI LAKUFURU NA KAMPUNI YA ZUKULULU MICHAEL APEWA DILI LAKUFURU NA KAMPUNI YA ZUKU

Msanii Elizabeth Michael Michael maarufu kwa jina la LULU apost picha akiwa ameshika cheti cha  kuwa balozi wa kampuni kubwa ya digital inayofamika hasa kwa kuwa navingamuzi vya digital..... lulu sasa ni balozi wa zuku products hasa vingamuzi vya zuku na zuku tv .…

Read more »
21Feb2014

MATOKEO YA KIDATO CHA 4 {2013} YATOKA ,NIKISANGA TAZAMA HAPAMATOKEO YA KIDATO CHA 4 {2013} YATOKA ,NIKISANGA TAZAMA HAPA

Baraza la Mitihani la Tanzania limetangaza matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2013 na kiwango cha ufaulu Kimeongezeka kwa asilimia kati ya 0.61 na 16.72 ukilinganisha na mwaka 2012.  Jumla ya watahiniwa laki 235,227 sawa na asilimia 58.25 ya waliofanya mtihani wamefaulu.   Wanafunzi 74,324 sawa na …

Read more »
21Feb2014

ZAMARADI MTETEMA NA JOTI NDANI YA POZI ZA KUKUACHA  MDOMO WAZI  ZAMARADI MTETEMA NA JOTI NDANI YA POZI ZA KUKUACHA MDOMO WAZI

Hapo JOTI akionesha hairstyle yake ya sikuhizi.. Vinywele juu... pamoja na kwamba nimemzoea lakini saa nyingine huwa nashindwa kujizuia kucheka... Hahaa haaa.. pozi la picha lilianza hivi.. Mara akanitolea ulimi nje Ghafla akabadilisha hali ikawa kama hivyo Mara hee... Ukatuni unaendelea... …

Read more »
20Feb2014

INSTAGRAM KIMENUKA KWA MASOGANGE NA WOLPER WAPEWA MAKAVU LIVEINSTAGRAM KIMENUKA KWA MASOGANGE NA WOLPER WAPEWA MAKAVU LIVE

Mtandao wa Instagram umekuwa ndio uwanja wa kuchambana hasa kwa hawa mastaa embu jionee huyo alivyowapa live live Agness Masogange na Jackline Wolper  …

Read more »
19Feb2014

PICHA ZA MH MENGI NA MKEWE KEILIN NDANI YA MABAHA HUKO NCHINI MAREKANIPICHA ZA MH MENGI NA MKEWE KEILIN NDANI YA MABAHA HUKO NCHINI MAREKANI

                                        loading.........network inasumbua endelea kutembelea blog hii                                                                picha kibao zinakuja…

Read more »
19Feb2014

DIAMOND ATIKISA HUKO SOUTH AFRIKA TAZMA PICHA HAPADIAMOND ATIKISA HUKO SOUTH AFRIKA TAZMA PICHA HAPA

Diamond & Yvonne Chakachaka  D'banj & Diamond Diamond with VJ Adam …

Read more »
19Feb2014

HAMISA HAJAWAHI TIWA!! ,NIMANENO YALIOPOSTIWA NA MCHUMBA WA PREZO MTANDAONI HAMISA HAJAWAHI TIWA!! ,NIMANENO YALIOPOSTIWA NA MCHUMBA WA PREZO MTANDAONI

                                    icho ndicho kilichoandakwa humo                                            huyo apo ndio chagabeibe na mpenziwe prezo …

Read more »
17Feb2014

PENNY ADAIWA KUTUMIA BANGI ILI KUJIEPUSHA NA MSONGO WA MAWAZO YA MAPENZIPENNY ADAIWA KUTUMIA BANGI ILI KUJIEPUSHA NA MSONGO WA MAWAZO YA MAPENZI

              penny na rafiki yake batani na sigara mkononi                   penny mtangazaji wa dtv na alikuwa mchumba wa diamond plutinums …

Read more »
16Feb2014

AUNT EZEKIEL ATIAFORA NA MEONEKANO WAKE WA VALENTINEAUNT EZEKIEL ATIAFORA NA MEONEKANO WAKE WA VALENTINE

Read more »
16Feb2014
 
Top