JIONEE SHILOLE ALICHO AMBULIA BAADA YA KUANDIKA KINGEREZA MTANDAONIJIONEE SHILOLE ALICHO AMBULIA BAADA YA KUANDIKA KINGEREZA MTANDAONI

Shilole aliamua kutandika yai kwenye Instagram, ili kuzipa uzito shukrani zake za dhati kwa muongozaji wa video yake ya ‘Nakomaa na Jiji’ itakayotoka Jumamosi hii, Nisher.Bahati mbaya, yai lake lilivunjika mapema wakati lilipokuwa likiufikisha ujumbe huo na kuwafanya watu waligeuzie mjadala.Kama tu…

Read more »
08Nov2013

TAZAMA MCHUNGAJI MAARUFU ANAETOA  MAPEPO SEHEMU ZA SIRITAZAMA MCHUNGAJI MAARUFU ANAETOA MAPEPO SEHEMU ZA SIRI

Huu sio mchezo wa kuigiza wala sio utani imetokea huko nchini Nigeria,ambapo nguvu za giza zimezidi sana,hivyo mapepo ,mashetani na hata maruwani yamekuwa ndani ya watu huku wachungaji wakifanya maombi kuyatoa mapepo na mazingara hayo kwa watu.Sasa hio picha hapo juu ni moja ya picha ilioshangaza m…

Read more »
07Nov2013

WEMA AIPASUA BONGO MUVI BAADA YA KUSUSIWA MSIBA WA BABA YAKE.WEMA AIPASUA BONGO MUVI BAADA YA KUSUSIWA MSIBA WA BABA YAKE.

KLABU ya mastaa wa filamu jijini Dar es Salaam, Bongo Movie ‘Bongo Muvi’ imepasuka katikati kisa kikidaiwa kuwa ni lile tamko linalodaiwa kutolewa na mwenyekiti wa klabu hiyo, Vincent Honorati Lasasi Kigosi ‘Ray’ kuwa mwanachama yeyote wa kundi hilio asitie miguu kwenye msiba wa baba mzazi wa mwenz…

Read more »
07Nov2013

SOMA HAPA JIPYA TOKA KWA WALTER  CHILAMBO ,YAN NI SHiiiidaaaaSOMA HAPA JIPYA TOKA KWA WALTER CHILAMBO ,YAN NI SHiiiidaaaa

Soma Hapa Post Ya Walter Chilambo Kuhusu Kazi Mbili Mpya Kutoka Kwake. …

Read more »
06Nov2013

HUU NDIO MUINEKANO MPYA WA WEMA SEPETU BAADA YA  MSIBA WA BABA YAKEHUU NDIO MUINEKANO MPYA WA WEMA SEPETU BAADA YA MSIBA WA BABA YAKE

Wema sepetu na nduguzake Wema ni mzuri ata akiwa kwenye majonzi. …

Read more »
06Nov2013

TAZAMA  KILICHO TOKEA  KATIYA WEMA NA JOKATE KWENYE MSIBA WA BABA WEMATAZAMA KILICHO TOKEA KATIYA WEMA NA JOKATE KWENYE MSIBA WA BABA WEMA

Warembo wa wili wenye umaarufu nchini na nje ya nchi ya tanzania  wanaotambulika kwa majina Wema sepetu na Jokate Mwegelo ,ambao urafiki na ujirani wao ulipotea baina yao hivi kwa mdaa sasa baada ya sakata lao kuchukuliana bwana " DIAMOND PLUTINUMZ".Ila baada ya msiba wa baba mzazi wa wema sepetu J…

Read more »
05Nov2013

TAZAMA PICHA ZA MWANAFUNZI ALIE JINYONGA  KWA SABABU YA MTHIANI  2013TAZAMA PICHA ZA MWANAFUNZI ALIE JINYONGA KWA SABABU YA MTHIANI 2013

Mwanafunzi alijinyonga siku moja kabla ya mthiani wa taifa wa kidato cha nne alie julikana wa jina la Khamis Mkundo mkazi wa Mwangata. Mwenyekiti  wa serekali ya Mwangata C Bw salehe Mwingwa akiisoma barua ilioandikwa na kuachwa nakijana huyo yenye ujumbe wa sababu ya yeye kujinyonga ambayo ni uwog…

Read more »
04Nov2013

PICHA ZA ALICHOKIFANYA MTOTO KWA PAPA FRANCIS WA PILI, SIOKAWAIDAPICHA ZA ALICHOKIFANYA MTOTO KWA PAPA FRANCIS WA PILI, SIOKAWAIDA

Mtoto moja asiejulikana kwa jina  alionyesha furaha yake huku akishangaza watu  baada ya kumvamia PAPA FRANCIS 2 nakumkumbatia kisha akaendelea kucheza  huku papa huyo akiendelea kuhutubia haikuishia hapo mtoto huyo akaenda  kekaa kwewnye kiti special/maalumu cha papa huyo kiongozi wa dini ya wakri…

Read more »
03Nov2013
 
Top